PAROKIA YA MSIMBAZI
JIMBO KUU LA DAR ES SALAAM

Somo:Bikira Maria mama wa fatma
Yohane 2:5"......Lolote atakalowaambia, fanyeni."

|Nyumbani| |Historia| |Mawasiliano| |Matukio| |Mashirika ya Kitawa| |Vyama vya Kitume| |Mapadre| |Baraza la Walei| |Huduma| |Sakramenti| |Linki Muhimu|

Kavlario;Msalaba wa Jubilei unapotunzwa na parokia.
Ujenzi wa Kanisa la Msimbazi ulianza Septemba,1953 baada ya parokia kuzaliwa Januari 13, 19952 na lilibarikiwa Juni 12,1959. Lilianza na Waamini 7000 na sasa ni zaidi ya 150,000. Paroko wa kwanza alikuwa PadreKlemens Hug akisaidiwa na Padre Lucius Eisenring. Paroko wa Kwanza mzalendo ni Padre Tarimo mwaka 1996.

Paroko wa sasa hivi ni Padre Masetus wa shirika la Makapuchin

Ukurasa huu Bado upo kwenye matayarisho....Tunashukuru kwa kututembelea.Karibu Tena!!!

 

 

 

 


 

 

Webmaster
(c)copyright,2006 Msimbazi Parish Archdiocese of Dar es Salaam